Ubuyu Exclusive: Inasemekana Eti Tunda Abeba Mimba ya Diamond.....Shuhudia mwenyewe hapa


Kwa habari za kunyapia nyapia zinadai kuwa video vixen mwenye mvuto wa hali ya juu nchini Tanzania na Africa kwa ujumla Tunda Sabasita amebeba ujauzito wa msanii Diamond Platinums

Wawili hao inadaiwa kuwa wameanza uhusiano wa kimapenzi muda mrefu sana ila wanajitahidi sana kujificha ili penzi lao lisigundulike haraka mpaka pale muda muhafaka utakapo wadia kuweka wazi uhusiano wao.

Lakini siku zote bwana mapenzi ni kikohozi hakiwezi kufichika ,mwanadada Tunda ameonesha dalili zote za kushindwa kuvumilia suala hilo na kwa namna moja au nyingine amekuwa akionesha mahaba yake ya dhati kwa msanii diamond platinums.

Na ameenda mbali zaidi kwa kuamua mpaka kuweka dp ya diamond platinums kwenye account yake ya Instagram Screenshot_2017-11-05-00-15-50.jpg

Haya sasa vita ya Zari vs Hamisa Mobeto tupa kule

Habari ya mujini kwa sasa ni Zari vs Tunda

Je Zari ataweza tena kuvuka changamoto hiii????

Comments

Popular posts from this blog

Kweli Dunia Imeisha::: Unaambiwa Hizi Ndio Bei Za Makahaba/Machangudoa Dar......Sinza Hakushikiki

Hizi Ndizo Shida Tatu Kubwa Za Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Awapo Kwenye Kitanda Soma Hapa

Kitakachompata Mwanamke Endapo Akiacha Kufanya Mapenzi Soma Hapa