Mke wa mtu na mchepuko wake wakutwa wamekufa kwenye taxi wakishiriki tendo la ndoa Angalia Picha Hapaa
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo lililotokea jumapili ya wikiendi iliyopita wamesema walikuta gari dogo (Taxi) ikiwa imepaki na ndani kukiwa na watu waliokuwa uchi wakiwa wamelaliana ndipo wakaamua kuchukua uamuzi wa kufungua milango.
Shuhuda mmoja alikiri wazi kumfahamu mama huyo na kudai kuwa ameolewa na ana watoto wanne huku akishindwa kumtambua mwanamme aliyekuwa naye.
Baadhi ya maelezo ya mashuhuda kupitia mitandao ya kijamii wamesema walikuta gari na AC ikiwa imewashwa.
Hata hivyo hakuna taarifa rasmi kutoka jeshi la polisi nchini humo kuhusu tukio hilo la kusikitisha.

Comments
Post a Comment