Huyu ndiye binadamu wa kwanza duniani mwenye uwezo wa kuzungusha kichwa hadi nyuzi 180 Muangalia Hapa


Katika maisha kuna mambo mengi tutaendelea kuyaona hii ni kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na muingiliano wa vitu kibao vinavyosababisha genes za binadamu kubadilika kila uchao.
Huko nchini Pakistani amepatikana kijana mwenye uwezo wa kuzunguusha kichwa chake kuanzia mbele hadi nyuma yaani kwa nyuzi mlala wa 180.
Kijana huyo aliyetambulika kwa jina la Muhammad Sameer (14) mzaliwa wa mjini Karachi amezua gumzo nchini humo baada ya video yake kusambaa mitandaoni ikimuonesha akizunguusha kichwa chake mithili ya ndege bundi.
Kijana huyo akielezea jinsi alivyoanza mazoezi hayo hadi kufikia hatua hiyo, Sameer amesema kuwa kipindi akiwa na miaka 6 aliona muigizaji kwenye filamu moja ya kihindi akifanya hivyo ndipo alipoamua kuanza mazoezi ya kujifunza jinsi ya kugeuza kichwa.

Comments

Popular posts from this blog

Kweli Dunia Imeisha::: Unaambiwa Hizi Ndio Bei Za Makahaba/Machangudoa Dar......Sinza Hakushikiki

Hizi Ndizo Shida Tatu Kubwa Za Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Awapo Kwenye Kitanda Soma Hapa

Kitakachompata Mwanamke Endapo Akiacha Kufanya Mapenzi Soma Hapa