Baada Ya Joti Kufunga Ndoa::Alichosema Mc Pilipili kuhusu harusi ya Mpoki....


Akiwa na uzoefu wa kusimama kama Mc kwenye harusi za watu maarufu Bongo, Mc Pilipili ameeleza kuwa miongoni mwa watu maarufu ambao angependa kusherehesha katika harusi zao ni Mchekeshaji Mpoki.
Mc Pilipili amesema hayo katika mahojiano na Bongo5 na kueleza kuwa hata katika harusi na Joti alitamani kufanya hivyo pia.
“Mpoki nitapenda sana niwe Mc wa harusi yake na hata harusi ya Joti ilipoanza nilitamani sana kuwa Mc wa harusi yake na hata Joti mwenyewe alijitahidi sana lakini nilikuwa tayari nimeshapokea sherehe nyingine, kwa hiyo sasa hivi mtu ambaye natamani ni Mpoki” amesema Mc Pilipili.
Alipoulizwa kwa upande wake angetamani nani kufanya hivyo, alibu; “Nina marafiki wengi ma-Mc wa kawaida kama Luvanda ambaye is my very best friend to me, is like my dad, sasa sijajua awe msimamizi au kwa wazazi au awe Mc lakini pia Chris Mauki namfikiria, Samsasali pia naye namfikiria, so sijajua lakini tutakapoanza nitapenda Mc mcheshi”

Comments

Popular posts from this blog

Kweli Dunia Imeisha::: Unaambiwa Hizi Ndio Bei Za Makahaba/Machangudoa Dar......Sinza Hakushikiki

Hizi Ndizo Shida Tatu Kubwa Za Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Awapo Kwenye Kitanda Soma Hapa

Kitakachompata Mwanamke Endapo Akiacha Kufanya Mapenzi Soma Hapa