Video Ngoma Mpya Kali Ya Diamond Na Rick Ross Yaan Ni Nomaa Angalia Hapa
Muimbaji Diamond Platnumz anazidi kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa zaidi….na mafanikio yake yanazidi kufunguka, tumeona msanii kutokea marekani Rick Ross akimpost kwenye page yake ya instagram kama balozi wa kinywaji cha Belaire na baadae tena tukaona ukaribu wake na msanii Swizz Beatz, kumbe Rick Ross hajaishia kumpost pekee.
Yaan Tusubirie Bonge La ngoma
Muimbaji Diamond Platnumz anazidi kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa zaidi….na mafanikio yake yanazidi kufunguka, tumeona msanii kutokea marekani Rick Ross akimpost kwenye page yake ya instagram kama balozi wa kinywaji cha Belaire na baadae tena tukaona ukaribu wake na msanii Swizz Beatz, kumbe Rick Ross hajaishia kumpost pekee.
Comments
Post a Comment