Maneno ya Mbunge Nape baada ya kusikia sauti ya Mh. Lissu Amshauri Hili Kabla Ya Kurudi kwenye...


Mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye baada ya kusikia sauti ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Antiphas Lissu ambaye tangu alipopigwa risasi haijawahi kusikika sauti yake amemuomba mbunge huyo atulie mpaka apone kabisa.


Nape amesema anamuombea Mbunge apone kwanza  huku akisema anamshukuru Mungu kwa kuliona tabasamu lake.
Mjomba tunamshukuru Mungu kwa tabasamu hili la matumaini!Nakuombea afya iimarike kabla hujasema mengi!Tulia mjomba upone kabisa kwanza! ameandika Nape kwenye ukurasa wake wa Twitter.
Hata hivyo, hivi  karibuni Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe alisema kuwa hali ya mbunge huyo imeimarika zaidi na vifaa vilivyokuwa vikiusapoti mwili wake vimeondolewa na sasa mwili wake unajiendesha wenyewe.
Mh. Lissu  alipigwa risasi na watu wasiojulikana Septemba 7 mwaka huu eneo la ‘area D’ mjini Dodoma na watu wasiojulikana. Ambapo kwasasa anapatiwa matibabu Nairobi Kenya.

Comments

Popular posts from this blog

Kweli Dunia Imeisha::: Unaambiwa Hizi Ndio Bei Za Makahaba/Machangudoa Dar......Sinza Hakushikiki

Hizi Ndizo Shida Tatu Kubwa Za Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Awapo Kwenye Kitanda Soma Hapa

Kitakachompata Mwanamke Endapo Akiacha Kufanya Mapenzi Soma Hapa