Kweli Ubunge Unalipa Hata Kama Upo Upinzani......Unaambiwa Hii Ndio HOTEl Ya Kifahari Anayojenga Sugu


MwanaBongofleva wa siku nyingi ambae pia ni Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Mr. II Sugu ambae leo ametuonyesha Hoteli yake aliyoijenga Uzunguni Mbeya.

Ni Hoteli ambayo ujenzi wake ulianza mwaka 2016 na umemalizika na kufunguliwa mwaka 2017 ikiwa ni Hoteli yenye vyumba 16 vya kulala na kuna mpango wa baadae kuongeza vifikie 23.

Comments

Popular posts from this blog

Kweli Dunia Imeisha::: Unaambiwa Hizi Ndio Bei Za Makahaba/Machangudoa Dar......Sinza Hakushikiki

Hizi Ndizo Shida Tatu Kubwa Za Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Awapo Kwenye Kitanda Soma Hapa

Kitakachompata Mwanamke Endapo Akiacha Kufanya Mapenzi Soma Hapa